Saksonia-Anhalt : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Pwjg (majadiliano | michango) Waziri |
histoia |
||
Mstari 9:
[[Elbe]] na [[Saale]] ni mito muhimu zaidi.
==Historia==
Jimbo la Saksonia Anhalt lilianzishwa mwaka 1945 kwa kuunganisha maeneo mawili: [[Mkoa wa Saksonia]] (Sachsen) wa [[Prussia]] na jimbo la [[Anhalt]]. 1949 likawa sehemu ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]] (Ujerumani ya Mashariki). Kutokana na harakati ya kubadilisha utawala katika Ujerumai ya Mashariki jimbo liligawiwa kuwa mikoa 2 ya Halle und Magdeburg na jimbo lilifutwa.
Wakati wa maungano ya Ujerumani mikoa ya awali ilibatilishwa na jimbo la Sachsen-Anhalt liliundwa tena mwaka 1990.
== Picha za Saksonia-Anhalt ==
|