Reykjavík : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: dsb:Reykjavík
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Reykjavík séð úr Hallgrímskirkju.jpeg|thumb|350px|Mji wa Reykjavik]]
'''Reykjavík''' ''(tamka: reykyavik)'' ni [[mji mkuu]] pia mji mkubwa wa [[IcelandAisilandi]] mwenye wakazi 113,387. Ni mjii mkuu wa dunia ulio kaskazini zaidi kushinda miji mikuu ya nchi zote huria.
 
== Jiografia ==
Iko kwenye pwani la kusini la IcelandAisilandi mwabaoni wa hori ya Faxaflói.
 
Reykjavik inafaidika na kukaa kwenye mahali pa kukutana kwa [[mabamba ya gandunia]] ya Ulaya na Amerika ya Kaskazini. [[Magma]] ya [[koti ya dunia]] iko karibu na uso wa nchi inasababisha maji kwenye ardhi kuwa moto. Maji ya moto haya hutumiwa kwa kupasha moto nyumba za kukalia watu pia [[bustani za mabandani]]. Nishati inapatika kwa rahisi kiasi cha kwamba katika mazingira ya barafu kuna hata mavuno ya ndizi kwenye bustani za mabandani zinazopashwa moto kwa maji yale ya chini ya ardhi.
Mstari 33:
<!-- Interwiki -->
 
[[Jamii:Miji ya IcelandAisilandi]]
[[Jamii:Miji Mikuu Ulaya|Reykjavik]]