Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 79.191.240.147 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 196.202.206.223
blast of GENESTEALER CULT helllish slang
Mstari 1:
{{karibu}} --'''[[Mtumiaji:Mr Accountable|Mr Accountable]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mr Accountable|majadiliano]])''' 11:38, 24 Novemba 2009 (UTC)
 
== mbegu-jio-KE na mbegu-jio-Ethiopia ==
 
{{tl|mbegu-jio-KE}} na {{tl|mbegu-jio-Ethiopia}} ya kupatikana. --'''[[Mtumiaji:Mr Accountable|Mr Accountable]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mr Accountable|majadiliano]])''' 17:45, 13 Desemba 2009 (UTC)
 
==Garissa==
Rafiki OScar, nimerejesha makala ya [[Garissa]]. Una wajibu kuangalia kwanza kama makala iko tayari. {{overwrite}} --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:25, 16 Desemba 2009 (UTC)
 
== Makosa ==
 
Salam, Limoke. Nimeona mara kadhaa ukiandika makala huku ukiwa umeacha vigezo au template za Wikipedia ya Kiingereza hapa kwenye Kiswahili - wakati vigezo vile havina kazi. Unaombwa uwe unaweka taratibu za kuondoa vigezo vyote vya Kiingereza - kwani havina kazi hapa kwenye Kiswahili. Pia, nimeona mara kibao ukiandika kiungo cha ndani cha Wikipedia huku ukiweka KOMA ndani yake. Hii haileti kiungo kwenda makala nyingine. Isitoshe, nimeona pia ukiweka hata NUKTA kwenye mabano mraba ya makala ([[mtu.]] badala ya [[mtu]]). Kumbuka kuondoa au kuepuka [[Wikipedia:Makosa|makosa]] haya, ndugu. Kila la kheri.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 10:10, 17 Desemba 2009 (UTC)
 
== Vigezo au Template ==
 
Ndugu, usiendelee kuanzisha vigezo bila kufahamu vina kazi gani, la. Ni lazima ufanya jambo ambalo unajua nini unachokifanya. Si vyema sana kuendelea kuanzisha vigezo bila kazi maalumu. Tafadhali unaombwa usiendelee kuanzisha vigezo, ndugu!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 13:31, 17 Desemba 2009 (UTC)
 
==Heri ya sikukuu==
Salaam, Ndugu Limoke. Nimefurahi kuona kazi zako katika wikipedia yetu. Tuendelee kusonga mbele na kusaidiana. Heri ya sikukuu! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 10:08, 25 Desemba 2009 (UTC)
 
 
== makala zihitajizo habari ==
 
Ndugu Limoke, salaam! Wakati wa shindano, makala nyingi zimeanzishwa bila kuwekewa yaliyomo hata kidogo, nasi wanawikipedia hatukuwa na nafasi ya kurekebisha sana. Kwa hiyo sasa, naomba tusaidiane kusawazisha hizo makala. Kwa mfano, ungeweza kuanza kwa kuangalia [http://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:KurasaZisizonajamii orodha ya makala bila jamii]. Bila shaka utagundua kadhaa ambazo ni duni, labda yenye maneno mawili matatu tu. Ndivyo nilivyogundua k.m. na makala ya [[Henri Fayol]], mhandisi Mfaransa wa karne ya 19. Sasa ukiangalia [http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Henri_Fayol&action=historysubmit&diff=364028&oldid=337882 mabadiliko niliyoyaingiza] utapata mambo ya msingi ya wikipedia. K.m. naingiza kigezo cha '''<nowiki>{{DEFAULTSORT}}</nowiki>''' kwa ajili ya orodha ya makala katika jamii ifuate alfabeti vizuri. Tena naingiza jamii za miaka ya kuzaliwa (k.m. '''<nowiki>[[Jamii:Waliozaliwa 1841]]</nowiki>''') na ya kufariki (k.m. '''<nowiki>[[Jamii:Waliofariki 1925]]</nowiki>'''). Pia, ikiwa ni makala fupi bila maelezo mengi, naingiza kigezo cha '''<nowiki>{{mbegu-mtu}}</nowiki>''' (yaani kama ni mtu). Hatimaye, naingiza kiungo kwa wikipedia ya Kiingereza (k.m. '''<nowiki>[[en:Henri Fayol]]</nowiki>''') ambapo naweza kupata code kwa picha ya mtu (k.m. '''<nowiki>[[Image:Fonds henri fayol.jpg|thumb|right|Henri Fayol]]</nowiki>''') pamoja na habari nyingine. Nitashukuru kwa msaada wako katika kuboresha makala mpya zilizoachwa duni. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 07:17, 3 Februari 2010 (UTC)
 
nashukuru sana kaka,miye nitajitahidi kiasi niwezavyo koboresha makala ya wikipedia kwani miye ni mtumizi wa wiki kila siku kule chuoni wakati wote na nitafurahia sana japo mtu mwingine pia atapata makala yangu kuwa muhimu.Limoke
 
:Ndugu Limoke, asante kwa jibu lako. Nimefurahi kusikia kuwa utaendelea. Unisamehe nikiendelea kuandika kuhusu usafishaji wa wikipedia baada ya shindano. Sababu hasa ni kwamba tukiendelea kuboresha makala zilizoongezeka, tuwe makini. Kabla hatujaongeza au kurekebisha habari za makala fulani, lazima tuangalie majadiliano na ukurasa wa historia ya makala hiyo. Angalia k.m. makala ya [[uchumi]]. Ukiihariri bila kuangalia [[Majadiliano:Uchumi|majadiliano yake]] wala [http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Uchumi&action=history historia yake], inawezekana utaongeza kazi ya baadaye kwa vile tafsiri za shindano zilizofuta makala za zamani (pamoja na jamii na interwiki zake) hazijaunganishwa. Nitaendelea kutafuta makala kama hiyo na kuziandikia katika majadiliano yake. Kwa ajili ya kuunganisha tafsiri mbili au zaidi, labda itasaidia ukifungua zote, kila moja katika dirisha lake, na kunakilisha sehemu za makala za zamani kwenda katika makala ya sasa. Pole na kazi. Na asante kwa kazi yako. (Pia, ukiandika kwenye kurasa za majadiliano, ungeweza kutia sahihi kwa kutaipu '''<nowiki>~~~~</nowiki>''' ukiwa umesajiliwa kama [[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]].) Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 04:08, 4 Februari 2010 (UTC)
 
 
Ahsante sana '''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]]'''lakini miye bado nasumbuliwa sana na the technical bits za wiki,kama vile kuandika infobox,vigezo n.k. naomba sana kama ungeweza kunisaidia kidogo na kwanza nitaanza kwa kuboresha makala yangu binafsi kwa sababu nafahamu kuwa makala yenyewe sikuzingatia haswa kanuni za wiki.Miye '''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]]'''.
'''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 19:11, 14 Machi 2010 (UTC)
 
'''<nowiki>~~~~</nowiki>'''
nimerudi sasa wanajumuia.kuanzia hii wiki,ni makala tuu.domo wazi nimewacha
 
 
'''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 12:36, 16 Machi 2010 (UTC)
 
=='''Makala Baada ya Pambano la KWC'''==
Nimeenza kutafsiri makala rasmi na kuandika makala.Hapa chini ni makala yangu ya kwanza tangu pambano liishe.
[[Upper Nile, Sudan]]
 
'''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 13:44, 16 Machi 2010 (UTC)
Nimetumia Wiki Beta kuandika makala haya.Beta iko juu!Iko juu tu sana!
[[Bukhungu Stadium]]
 
:Haya, basijipongeze kwa matumizi yako ya Beta! Pia karibu tena katika Wikipedia ya Kiswahili. Uwepo wako utasaidia kuisukuma Wikipedia yetu kwa asilimi nyingi tu, kaka.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 15:18, 16 Machi 2010 (UTC)
 
Ahsante kaka [[User talk:Muddyb Blast Producer]]. Naomba msaada wenu ili niweze kuandika makala bora zaidi Nahisi kuwa bado sijahitimu kutosha kuandika makala bora ila naapa kujizitatiti.Miye '''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 18:09, 16 Machi 2010 (UTC)18:05, 16 Machi 2010 (UTC)
 
::Sidhani kama kuna tatizo la kuto-kukusadia jinsi ya kuandika makala bora. Halafu sidhani kama kuna mmoja wetu anayeweza kusema makala fulani si bora! Ila tu, tunajitahidi. Basi jidhatiti ili tufikie lengo! Ukiwa una swali lolote kuhusiana na maujuzi au maujanja ya matumizi ya zana hizi za kiwiki, basi [[User talk:Muddyb Blast Producer|nijulishe]] nami nitakusaidia. Karibu sana.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 06:25, 17 Machi 2010 (UTC)
 
Nashukuru kaka [[User:Muddyb Blast Producer]] kwa wosia wako.Pia nasshukuru kwa kufuatilia makala yangu.Naomba ukiyakosoa uweze kuniaarifu ili niweze kupata kujibiresha hata zaidi katika nwiki.Nimetafsiri mengine.'''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 08:16, 17 Machi 2010 (UTC)
 
 
:::Ndugu Oscar kwanza kabisa karibu kwetu hata baada ya mashindano nakupongeza wa moyo wako wa kuendelea. Pili umeomba ushauri kuhusu makala ulizoaja hapo juu. Hapo naona kimsingi makala ya Upper Nile ni nzuri nitafirahi ukiendelea kuandika juu ya majimbo mengine ya Sudan pia. Kwa ushauri nina yafuatayo:
:::#Kusoma zaidi kidogo - yaani ukitangulia kusoma kwanza makala ya Sudan utaona majimbo yote ako tayari kwa viungo vya buluu maana mtu aliwahi kuunda makala; nikifungua naona ni mafupi sana sentensi moja tu zilianzishwa na mwenzetu Mr. Accountable ambaye anajua Kiswahili kidogo tu lakini anajitahidi kutusaidia sana. Makala hizi zote zinfaa kupanushwa.
:::#Jina: Kwa kusomasoma kidogo utaona jina la Kiswahili limeanzishwa tayari. "Upper Nile" inaweza kufaa kama kielekezo maana labda hata wasomaji wengine wanatafuta jina la KiingerEza katika wikipedia yetu, kielekezo itawapeleke huko. Napendekeza hatua zifuatazo: A) nakili na kuingiza maandishi ya Upper Nile kwenda "Nile ya Juu" halafu b9 badilisha yaliyomo ya Upper nile kuwa redirect kwenda kule Nile ya Juu.
:::#Kwa jumla tahadhari kidogo juu ya matumizi ya maneno ya Kiingereza. "White Nile" na "Scramble for Africa" zafaa kutafsiriwa. Hata hapa si vibaya kuchungulia katika wikipedia kama makala ziko tayari (Nile Nyeupe iko pekee kwa jimbo la Sudan; inaelezwa ndani ya makala ya mto Nile; mashindano ya wakoloni kugawa Afrika haina makala bado).
:::#wakati wa kutafsiri viungo kujiuliz: Je tunaitaka kweli? Yaani mimi ninsingetafsiri kiungo cha mafuriko ya Sudan 2007 kama nisingependa kuiandika mwenyewe; makalaet za Sudani ni kidogo sijui kama makala ii itakuja?
:::Basi haya ni mawazo machache tu naomba usikate tamaa na endelea!--'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:28, 17 Machi 2010 (UTC)
 
Shukrani Kaka [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]],kidogo nina shida ya ku redirect vile umesema.unawez kunisaidia jinsi ya kufanya hivyo?Pili,nimetafsiri makal mengine haya hapa:
[[Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi]] na [[Western Stima]].Pia naomba kujua jinsi ya kufuatilia wanawikipedia wengine ili nipate kuona jinsi wanavyo andika makala yao.Nimejaribu ku redirect vile umesema,makala ya hapo awali ndo haya [[Upper Nile, Sudan]] na mabadiliko ndo haya [[Jimbo la Nile ya Juu,Sudan]]
shukrani.miye '''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 11:25, 17 Machi 2010 (UTC)
:Redirect au kuelekeza si vigumu. Alama ya 12 juu ya dirisha la kuhariri ni '''#R'''. Baada ya kupeleka maandishi ya "Upper Nile" kwenda "Nile ya Juu" na kuhifadhi, unsrudi "Upper Nile". Bofya hariri, ondoa maandishi yote. Bofya alama ya Redirect '''#R''' utaona haya: <nowiki>#REDIRECT [[Insert text]]</nowiki>. Katika mabano mraba weka jina jipya yaani "Nile ya Juu". Hifadhi. Tayari. --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Machi 2010 (UTC)
::Nimeona, kumbe. Ulichofanya si vile ninavyoshauri. Yaani muhimu ni kusoma kwanza yale yaliyopo. Tusipate makala mbalimbali juu ya jambo moja kwa majina tofauti. Ukisoma "Sudan" utaona makala mebgu zote za majimbo ziko tayari, pamoja na kigezo (template). Makala hii iko kama mbegu kwa jina "Nile ya Juu". Ukipendelea majina tofauti (jinsi ulivyounda sasa) lazima ufuate kwa mbegu hizi zote za majimbo ya Sudan. Je ni lazima kweli? Sina neno lakini naona afadhali utumie yale yaliyopo ila tu ongeza habari ndani ya mebgu hizi fupifupi. --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:39, 17 Machi 2010 (UTC)
 
 
Nimetafsiri na kuyakuza makala haya [[Waidakho]] kwenye Beta!Hee!Nafurahia Beta.16:32, 6 Aprili 2010 (UTC)
Haya mengine ndo haya [[Francis Imbuga]].Beta iko juu tu sana!'''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 08:10, 7 Aprili 2010 (UTC)
 
 
 
'''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 11:42, 14 Aprili 2010 (UTC) Nafurahia kazi yangu [[Meja Mwangi]]!Nyingine tena kutoka kwa '''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 11:42, 14 Aprili 2010 (UTC).
 
== Makala ya Waandishi wa Kenya ==
 
Nadhimiria kutafsiri na kuandika Makala haya.naomba msaada wowote.'''[[Mtumiaji:Mpmayenge|Mpmayenge]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mpmayenge#top|majadiliano]])''' 09:09, 21 Aprili 2011 (UTC)
:Naona ni hoja zuri sana. Labda uanze kwa kutumuia [[en:Literature_of_Kenya]]? Haina habari nyingi lakini ni chanzo. Unaweza kuongeza habari za mitindo na kazi za waandishi na majina ya nyongeza polepole. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:25, 21 Aprili 2011 (UTC)
::Shukrani tele [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]].Nitaendele basi.