Bruno Mkartusi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
Bruno Mkartusi ([[Cologne]], [[Ujerumani]], [[1030]] hivi - [[Serra San Bruno]], [[Italia]],
[[6 Oktoba]] [[1101]]) alikuwa [[padri]] wa [[Kanisa Katoliki]] na [[mmonaki]] aliyeanzisha [[shirika la kitawa]] kwa [[wakaapweke]] ambalo linadumu mpaka leo ([[Wakartusi]]).
Anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake inaadhimishwa katika tarehe ya kifo chake.
Mstari 10:
Bado kijana alikwenda [[Reims]] ([[Ufaransa]]), ambapo mwaka [[1057]] [[askofu]] Gervas alimkabidhi uongozi wa [[shule]] iliyomlea.
Mwaka [[1076]] aliacha shughuli zake shuleni na
=== Wito wa kimonaki ===
Mstari 16:
Katika miaka hiyo migumu, ndipo [[wito]] wake wa kimonaki ulipojitokeza. Katika barua yake mojawapo Bruno alisimulia jinsi alivyoweka [[nadhiri]] ya kujitoa [[wakfu]] kwa [[Mungu]] pamoja na marafiki wawili.
Kisha kurudi Ufaransa, alikwenda kwenye [[makao ya upwekeni]] ya Molesme, chini ya uongozi wa [[Roberto wa Molesme]], [[mwanzilishi]] wa [[urekebisho]] wa [[Citeaux]] wa [[Wabenedikto|shirika la mtakatifu Benedikto]]. Halafu, pamoja na wenzi sita (mapadri 4 na ma[[bruda]] 2), alitafuta mahali pa faragha kabisa ili kuanzisha [[
=== Kartusi ===
Mstari 22:
Monasteri ilianza kujengwa katikati ya mwaka [[1084]], kwenye mita 1175 juu ya [[usawa wa bahari]]. [[Kanisa]] tu lilijengwa kwa mawe, ili liweze kuwekwa [[wakfu]], kama ilivyofanyika mwaka [[1085]].
Miaka sita baadaye [[Papa
=== Huko Italia ===
Mstari 66:
[[Category:Waliozaliwa 1030]]
[[Category:Waliofariki 1101]]
[[Jamii:Mapadri]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Jamii:Wakartusi]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ujerumani]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
[[be:Бруна Кёльнскі]]
|