Idi Amin : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Luwum and Amin.jpg|thumb|250px|Idi Amin pamoja na [[Askofu Luwum]] aliyeuawa baadaye kwa amri yake.]]
[[Picha:Amin is carried.jpg|thumb|250px|Idi Amin akibebwa kifalme na [[wafanyabishara]] [[Waingereza]] huko [[Kampala]].]]
'''Idi Amin Dada''' alikuwa [[Orodha ya Marais wa Uganda|rais]] wa [[Uganda]] katitangu yamwaka [[1971]] hadi [[1979]], aliyetawalaalipofukuzwa kamana rais[[jeshi]] wenginela lakin[[Tanzania]]. hawakumtaka
 
==Maisha==
Alikuwa mwanajeshi akapanda ngazi kuwa [[jenerali]] na mkuu wa jeshi la Uganda. 1971 alimpindua rais [[Milton Obote]] akajitangaza kuwa rais mpya.
 
Mwaka 1971 alimpindua rais [[Milton Obote]] akajitangaza kuwa rais mpya, lakini wengine hawakumtaka.
Mara moja alianza kuwatesa wafuasi wa Obote na watu wote waliompinga. Kuna makadirio ya kwamba jumla ya watu 100,000 hadi 500,000 waliuawa katika miaka nane ya utawala wake.
 
Mara moja alianza kuwatesa wafuasi wa Obote na watu wote waliompinga. Kuna makadirio ya kwamba jumla ya watu 100,000 hadi 500,000 waliuawa katika miaka naneminane ya utawala wake.
Aliharibu uchumi wa Uganda kwa ufisadi na majaribio ya kuongoza biashara. Hatua kubwa ya uharibifu ilikuwa kufukuzwa kwa watu wote wenye asili ya Kihindi na kugawa kwa maduka na biashara yao kwa ndugu au wafuasi wa rais. Takriban watu 80,000 walipaswa kuondoka kwao wakihamia Uingereza, Marekani au Kanada hasa.
 
Aliharibu [[uchumi]] wa Uganda kwa [[ufisadi]] na majaribio ya kuongoza [[biashara]]. Hatua kubwa ya uharibifu ilikuwa kufukuzwa kwakufukuza watu wote wenye asili ya Kihindi na kugawa kwa maduka na biashara yao kwa ndugu au wafuasi wa rais. Takriban watu 80,000 walipaswa kuondoka kwao wakihamia [[Uingereza]], [[Marekani]] au [[Kanada]] hasa.
Oktoba 1978 Amin alianzisha vita dhidi ya [[Tanzania]] kwa kuvamia sehemu za [[mkoa wa Kagera]]. Rais [[Julius Nyerere]] wa Tanzania aliamua kumwondoa Amin kabisa na jeshi la Tanzania likatwaa Kampala tar. [[11 Aprili]] [[1979]].
 
Mnamo Oktoba [[1978]] Amin alianzisha [[vita]] dhidi ya [[Tanzania]] kwa kuvamia sehemu za [[mkoa wa Kagera]]. Rais [[Julius Nyerere]] wa Tanzania aliamua kumwondoa Amin kabisa na jeshi la Tanzania likatwaa Kampala tar.tarehe [[11 Aprili]] [[1979]].
Amin alitoroka [[Libya]], halafu [[Irak]] na mwishowe [[Saudia]] alikopewa kimbilio kwa masharti ya kutoshughulika siasa tena.
 
Amin alitorokaalitorokea [[Libya]], halafu [[Irak]] na mwishowe [[Saudia]] alikopewa kimbilio kwa masharti ya kutoshughulikakutoshughulikia [[siasa]] tena.
 
Alikufa mjini [[Jeddah]] tar.tarehe [[16 Agosti]] [[2003]].
 
Alikufa mjini [[Jeddah]] tar. [[16 Agosti]] [[2003]].
{{mbegu-mwanasiasa}}
 
{{DEFAULTSORT:Amin}}
 
[[Jamii:Watu wa Uganda]]
[[Jamii:Marais wa Uganda]]