Mehmed II : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|right|250px|[[Sultani Mehmed Fatih mshindi wa Konstantinopoli 1453]] '''Mehmed II''' (pia: '''Mehmed Fatih''') alikuwa Sultani wa [[Milki ya Osm... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 22:45, 10 Julai 2007
Mehmed II (pia: Mehmed Fatih) alikuwa Sultani wa Milki ya Osmani. Alijulikana hasa kwa sababu alivamia mji wa Konstantinopoli mwaka 1453 akamaliza milkui ya Bizanti.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |