Kaizari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
dNo edit summary |
||
Mstari 7:
==Asili ya Kiroma==
Asili yake ni [[Julius Caesar]] aliyekuwa kiongozi wa [[Dola la Roma]] hadi kuuawa kwake na wapinzani mwaka [[44 KK]]. [[Orodha ya Makaisari wa Roma|Watawala waliomfuata]] walianza kutumia jina la Caesar kwa heshima yake hadi jina lilikuwa cheo.
Cheo cha Kaisari kiliendelea kutumika katika eneo la Dola la [[Roma ya Mashariki]] ([[Bizanti]]) hadi [[1453]].
|