Uchoraji : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.5.5) (roboti Nyongeza: az:Rəssamlıq |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: mk:Сликање; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Uchoraji''' ni [[sanaa]] ya kupaka rangi kwenye uso wa [[karatasi]], [[kitambaa]], [[ubao]], [[metali]], [[mwamba]] au penginepo. Tokeo la uchoraji huitwa picha.
Ni sanaa wakilishi inayotumika kuwakilisha [[ujumbe]] kwa [[jamii]], kuna aina tofauti za uchoraji.
Hii
[[Picha:Tomb of Nakht (2).jpg|thumb|200px|Uchoraji wa Misri ya Kale (Kaburi la Nakht)]]
== Historia ==
Picha za kale kabisa zinaonyesha uchoraji kwenye miamba katika mapango. Katika Afrika ni [[Wasan]] au watu waliokuwa karibu nao waliochora wanyama kwenye kuta za mipango walipopumzika. Picha zao zinapatikana kote katika [[Afrika ya Kusini]] hadi [[Tanzania]] ambako kuna mifano mbalimbali karibu na [[Kondoa]]. Mifano ya uchoraji wa aina hii imepatikana pia Ulaya, Asia na Australia.
Mstari 81:
[[lv:Glezniecība]]
[[mg:Hosodoko]]
[[mk:Сликање]]
[[ml:ചിത്രകല]]
[[mr:चित्रकार]]
|