Visiwa vya Kanari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: sc:Isulas Canarias |
No edit summary |
||
Mstari 35:
|}
[[Picha:Locator map of Canary.png|thumb
'''Visiwa vya Kanari''' ([[Kihispania]]: Islas Canarias) ni [[funguvisiwa]] ya [[Afrika ya Kaskazini]] katika bahari ya [[Atlantiki]]. Kisiasa ni [[jimbo la kujitawala la Hispania]]. Viko baharini 150 km upande wa magharibi ya [[Moroko]]. Umbali na Hispania ni masaa mawili kwa ndege.
Mstari 58:
Miji mikubwa ni Las Palmas de Gran Canaria (wakazi 378.628), Santa Cruz de Tenerife (wakazi 221.567), San Cristóbal de la Laguna (wakazi 141.627), Telde (wakazi 96.547) na Arona (79.377).
[[Picha:Canarias-rotulado.png|thumb|450px
Idadi ya wakazi wa visiwa ni kama ifuatayo:
* Tenerife -
* Gran Canaria - 802.247
* Lanzarote - 123.039
Mstari 77:
Baada ya Wahispania kufika Amerika Las Palmas ilikuwa bandari muhimu ya safari za Atlantiki.
[[Picha:Echium Wildpretii at The Teide.jpg|200px|thumb|left|[[Teide]], [[Tenerife]]]]▼
[[Picha:Watalii Fuerteventura.jpg|thumb|left|200px|Watalii mwambanoni Fuerteventura]]▼
== Uchumi ==
Kutokana na uzuri wa nchi na hali ya hewa ambayo ni poa mwaka wote [[utalii]] imekuwa nguzo ya uchumi wa visiwa vya Kanari pamoja na kilimo cha mazao ya sokoni yanoyopelekwa Ulaya, hasa ndizi na tumbaku.
<gallery>
</gallery>
{{Afrika}}
|