Kipepeo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: war:Alibangbang
Masahihisho
Mstari 70:
 
[[http://en.wikipedia.org/wiki/File:Common_Buckeye_larva_variation,_Megan_McCarty42.JPG]]
Lava wa vipepeo hula majani kwa wingi, na hutumia muda wao mwingi wa siku wakitafuta chakula japokuwa asilimia kuowa ya lava hula nyasi (majani), wachache hula wadudu. Baadhi ya lava huishi maisha ya kutesemeana na mchwa[[sisimizi]]. Huwasiliana na mchwasismizi kwa kutummia mitikisiko maalumu na kemikali. MchwaSisimizi hutoa ulinzi kwa lava hawa ambao nao huwapatia mchwa utamuu wa asali.
 
Lava wengine pia wanauwezo wa kuzitokeza sehemu za vichwa vyao na kuonekana kama nyoka. Pia wana madoa kama macho ya uongo kuongezea muonekano huo. Pia, huwa na uwezo wa kutoa kemikali Fulani na kuitumia kama ulinzi.