Mnazi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
tANGA
d fomati
Mstari 1:
MNAZI'''Mnazi''' ni pombe inayotengenezwa na utomvu wa nazi changa iliyogemwa ikiwa mtini,. Pombe hii ya mnazi ni maarufu sana maeneo ya mwambao wa pwani ya ambapo minazi huota kwa wingi hasa Tanga.pombe Pombe hii haiongezwi kitu chote ili kukamilika,. Huhitaji masaa 8 tu toka kugemwa ili kukamilika kunywewa, ina rangi nyeupe iliyofifia hii ni pombeya asili ya wabondei.