Makaa mawe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tengua pitio 637184 lililoandikwa na Escarbot (Majadiliano)
Protect links to en:
Mstari 23:
 
Mabaki ya mimea yasiyoweza kuuoza yanaendelea hatua kwa hatua kuwa
# '''Nyuzi za mimea zisizooza''' ([[:en:Peat]]) zinazopatikana kama maganda manene kwa wingi hasa katika nchi za kaskazini na kutumiwa kiuchumi; katika Afrika kuna maeneo muhimu penye mafuriko ya kimajira kama Botswana au Mali.
# '''Makaa kahawia''' ([[:en:lignite]]) ni makaa yenye thamani dogo zaidi huchomwa kwa kuzalisha umeme.
# '''Makaa meusi''' ni magumu zaidi huchomwa pia katika vituo vya umeme na pia kwenye nyumba za watu. Inawezekana kuibadilisha kuwa mafuta na [[petroli]] na mbinu huu ulitumiwa katika chi penye akiba za makaa haya wakati ilikuwa tatizo la kupata [[mafuta ya petroli]] kama huko Ujerumani wakati wa [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Ilitumiwa pia kwa [[injini za mvuke]] viwandani na [[injinitreni]] zilizoendeshwa kwa mvuke
# '''Anithrasiti''' ni aina ya makaa meusi yenye kiwangokikubwa cha nisati ndani yake.