Papa Yohane XI : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 12:42, 18 Julai 2007
Papa Yohane XI alikuwa papa kuanzia Machi 931 hadi kifo chake mwezi wa Desemba 935. Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Yohane (labda alizaliwa mwaka wa 910). Alimfuata Papa Stefano VII.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |