Okapi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: bg:Окапи |
No edit summary |
||
Mstari 18:
'''Okapi''' (''Okapia johnstoni'') ni mamalia wa familia ya [[twiga]]. Umbo lake hufanana na [[farasi]] ina michoro miguuni kama [[punda milia]] lakini haina uhusiano naye ni aina ya twiga.
Okapi ni
Shingo ni fupi kuliko twiga lakini ina ulimi mrefu sana wa kujipatia majani unaomwezesha kusafisha masikio yake yeye mwenyewe. Duma ina pembe mbili fupi kichwani.
|