Okapi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d robot Adding: bg:Окапи
No edit summary
Mstari 18:
'''Okapi''' (''Okapia johnstoni'') ni mamalia wa familia ya [[twiga]]. Umbo lake hufanana na [[farasi]] ina michoro miguuni kama [[punda milia]] lakini haina uhusiano naye ni aina ya twiga.
 
Okapi ni myamamnyama iliyojulikana na wenyeji wa maeneo yao tu hadi 1901. Imeaminika kupatikana tu katika misitu ya [[Ituri]] lakini mwaka 2006 dalili zimepatikana ya kwamba iko pia kwenye misitu ya hifadhi ya kitaifa ya Kongo ya [[Virunga]]. Kwenye misitu ya Ituri kuna hifadhi ya okapi yenye 14,000 km².
 
Shingo ni fupi kuliko twiga lakini ina ulimi mrefu sana wa kujipatia majani unaomwezesha kusafisha masikio yake yeye mwenyewe. Duma ina pembe mbili fupi kichwani.