Mawasiliano ya simu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: ro:Telecomunicație
d r2.7.2) (roboti Badiliko: ka:ტელეკომუნიკაცია; cosmetic changes
Mstari 1:
'''Mawasilianoanga''' ''(tafsiri ya [[Kiing.]]-[[Kigiriki]] "telecommunication" kutoka Kigir. ''tele'' "mbali" Kiing. ''communication'' "kupeana habari, mawasilianio")'' ni kazi ya kupeana habari juu ya umbali tofauti na maongezi ya moja kwa moja kati ya watu walio karibu.
 
Zamani mawasiliano kwa umbali yalitekelezwa kwa msaada wa ngoma maalumu, alama za moto kutoka mlimani au alama za moshi zilizoonekana kwa mbali. Katika historia ya Ulaya au Asia kuna pia mifano ya [[semafori]] au heliografi (kioo cha kuakisisha nuru ya jua, kilichowekwa juu ya mnara au mlima). Inawezakana kutaja hapa pia nyaraka zilizosafirishwa kwa njia ya wakimbiaji au kwa watume waliopanda farasi.
 
Tangu karne ya 19 mitambo inayotumia umeme imechukua nafasi hii kama vile [[simu]], [[televisheni]], [[redio]] au [[intaneti]].
Mstari 7:
{{stub}}
 
[[CategoryJamii:Mawasiliano]]
 
[[af:Telekommunikasie]]
Mstari 48:
[[it:Telecomunicazioni]]
[[ja:電気通信]]
[[ka:ტელეკომუნიკაცია]]
[[ka:კავშირგაბმულობა]]
[[kk:Мәліметтерді қашыққа жеткізу]]
[[kn:ದೂರಸಂವಹನ ವ್ಯವಸ್ಥೆ]]