Wasukuma : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d ainisha {{mbegu}} using AWB
No edit summary
Mstari 1:
'''Wasukuma''' ni kabila kubwa kutoka eneo la kusini na mashariki yamwa [[Ziwa Viktoria]], nchini [[Tanzania]]. Kabila hili hasa huishi katika mikoa ya Mwanza na Shinyanga. Mwaka 20012002 idadi ya Wasukuma ilikadiriwa kuwa 3,200,000 [http://www.ethnologue.com/show_language.asp?code=suk]. Lugha yao ni [[Kisukuma]]. Kisukuma ni miongoni mwa lugha za Kibantu ambazo hubainishwa kama lugha mabishi.
 
 
== '''ShughuriShughuli za kiuchumi.''' ==
 
ShughuriShughuli kuu za kiuchumi kwa wasukuma ni kilimo,uvuvi, ufugaji na biashara.
Pamba ndio zao kuu la kibiashara kwa wasukuma, ambao pia hulima mazao mengine kama mpunga, tumbaku, mahindi,Viazi,Dengu na matunda(Kisiwani ukerewe)
Wasukuma pia ni wafanyabiashara na uvuvi, madini mbalimbali kama vile dhahabu, almasi na madini mengineyo huchimbwa katika maeneo mbali mbali mikoa ya Mwanza na Shinyanga.
 
Wasukuma pia wanajihusisha sana sana na kilimo cha mazao ya nafaka na mifugo ya aina mbali mbali. Maeneo ya Shinyanga wanalima mazao ya nafaka kama Mahindi na Mpunga.
 
== Maeneo yaliyo na madini ==
 
Wasukuma wamezungukwa na madini mbalimbali. Yafuatayo ni maeneo yaliyo na madini.
1.Mwadui (Huku kuna madini ya almasi ambayo kwa kiwango kikumbwakikubwa huipatia serikali pesa za kigeni)
2. Maganzo (Vilevile eneo hili limewekwa kwa ajili ya wachimajiwachimbaji wadogowadogo wa almasi, eneo hili liko magharibi ya Mwadui.)
 
{{mbegu-utamaduni-TZ}}