Ellen Johnson-Sirleaf : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: cs:Ellen Johnsonová-Sirleafová |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Ellen Johnson-Sirleaf, April 2010.jpg|
'''Ellen Johnson-Sirleaf''' (alizaliwa Oktoba 29, 1938 nchini [[Liberia]]) amekuwa [[rais]] wa kwanza mwanamke barani [[Afrika]] baada ya kushinda katika [[uchaguzi]] wa mwaka [[2005]]. Johnson-Sirleaf ameshika nyadhifa mbalimbali serikalini na katika mashirika ya kimataifa. Baada ya kumaliza masomo katika chuo kikuu cha [[Harvard]], alifanya kazi katika serikali ya Rais [[William Tolbert]] mwaka wa 1970 akiwa ni Waziri wa Fedha.
Mstari 40:
* Mwanachama wa bodi ya ushauri wa kisasa wa Kukuza Uchumi na Uwekezaji Afrika Kampuni
* Afisa mwandamizi wa mkopo wa Benki ya Dunia
{{commonscat}}
[[Jamii:Liberia]]
|