Jorge Luis Borges : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ne:जर्ज लुइस बोर्जेस |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Jorge Luis Borges Hotel.jpg|thumb|right|Jorge Luis Borges]]
'''Jorge Luis Borges''' ([[24 Agosti]] [[1899]] - [[14 Juni]] [[1986]]) alikuwa mwandishi wa fasihi kutoka nchi ya [[Argentina]]. Wataalamu wengi wa fasihi wanaamini kuwa Borges alikuwa
Mwaka wa 1914, familia yake ilihamia nchini [[Switzerland]] ambapo aliweza kujiunga na shule na baadaye kusafiri nchini Hispania. Alivyorudi
Mwaka
Borges hasa alijulikana kwa kutunga hadithi fupi za kubuniwa zilizoangazia
Mifano ya hadithi fupi alizoziandika ni kama "Shamba Panda" ambayo kwa Kiingereza ni ''The Garden of forking paths'', na "Maktaba ya Babeli", au kwa Kiingereza, ''The Library of Babel''.
|