Go-Mizunoo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 11:15, 28 Julai 2007
Go-Mizunoo (29 Juni, 1596 – 11 Septemba, 1680) alikuwa mfalme mkuu wa 108 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Masahito. Mwaka wa 1611 alimfuata Go-Yozei, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 22 Desemba, 1629. Aliyemfuata ni binti wake, Meisho.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |