Kalenda : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.6.2) (roboti Badiliko: jv:Pananggalan
Mstari 7:
== Migawanyo asilia ya wakati ==
=== Mchana na usiku ===
Kwa watu wengu duniani mabadiliko wa mchana na usiku ni utaratibu wa kwanza unaogawa wakati. Mchana na usiku pamoja inahesabiwa kama siku moja. Lakini kuna njia tofauti jinsi gani kuanza hesabu hiyo: asubuhi (mwanzo wa mchana) au jioni (mwanzo wa usiku) zilikuwa njia za kawaida za kuhesabu siku mpya. Tangu kupatikana kwa saa zinaonyesha masaa hata gizani saa sita usiki (katikati ya usiku) imeangaliwa kuwa mwanzo wa siku mpya.
 
=== Awamu za mwezi ===