Dubai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Ondoa: as:ধুবুৰি (deleted) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Dubai''' ([[Kiarabu]]: دبيّ) ni ufalme katika Shirikisho la [[Falme za Kiarabu]] kwenye [[rasi ya Uarabuni]] na pia jina la [[mji mkuu]] wa ufalme huu.
[[
Dubai ni ufalme mkubwa wa pili katika shirikisho baada ya [[Abu Dhabi]]. Iko kwenye mwambao wa [[Ghuba ya Uajemi]] kati ya [[Sharjah]] na Abu Dhabi. Kuna mji wa pili ni [[Hatta (Dubai)|Hatta]] mpakani na [[Oman]].
|