Khalifa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: uz:Xalifa |
No edit summary |
||
Mstari 22:
Muawiya kama jemadari ya Waislamu wa [[Dameski]] alikuwa khalifa mwaka [[661]] baada ya kifo cha Ali. Tangu Muawiya hakuna khalifa tena aliyechaguliwa; Muawiya alimteua mwanawe Yazid amfuate. Tangu siku zile cheo cha Khalifa kiliendela ama kwa mfuasi aliyeteuliwa na mwenye cheo au kilinyanganywa kwa njia ya kijeshi.
Wafuasi wa Muawiya waliendelea kutawala hadi [[750]] walipopinduliwa na wafuasi wa Abbas mjomba wa mtume Muhammad. Mmuawiya mmoja tu aliweza kukimbia hadi sehemu ya [[Hispania]] iliyotekwa na Waarabu alipopokelewa kwa heshima na kuanzisha [[Ukhalifa wa Wamuawiya wa
[[Image:Harun Al-Rashid and the World of the Thousand and One Nights.jpg|thumb|150px|Harun ar-Rashid alikuwa mashuhuri kati ya makhalifa Waabbasi]]
===Waabbasi===
|