Kifaru : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho |
dNo edit summary |
||
Mstari 17:
''[[Rhinoceros]]'' <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
}}
'''
Faru hufahamika sana kwa umbo lake kubwa (ni miongoni mwa wanyama wala nyasi waliobakia); huku kila spishi ya faru ikikaribia kuwa na uzito wa tani moja na ngozi ngumu ya kujilinda, yenye unene was m 1-5-5; ubongo mdogo wa mamalia (gramu 400-600) na pembe kubwa. Wao hula sana majani. Faru wa Afrika hukosa meno ya mbele na na kutegemea zaidi magego katika kusaga chakula.
|