Ufashisti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|200px|[[Fascio Littorio, ishara ya ufashisti iliyoupatia jina.]] '''Ufashisti''' ni siasa ya [[mrengo w...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 08:55, 17 Oktoba 2011
Ufashisti ni siasa ya mrengo wa kulia ambayo ilitawala Italia tangu mwaka 1922 hadi 1945 ikiongozwa na dikteta Benito Mussolini.
Kutokana nayo, aina za siasa zinazofanana zinaitwa pia ufashisti.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |