Derek Barton : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 15:07, 15 Agosti 2007
Derek Harold Richard Barton (8 Septemba, 1918 – 16 Machi, 1998) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mfumo wa molekuli mbalimbali. Mwaka wa 1969, pamoja na Odd Hassel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia. Mwaka wa 1972 alipewa cheo cha "Sir".
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |