Umaru Yar'Adua : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 13:
 
=== Mwanasiasa asiye na rushwa? ===
Yar'Adua alisifiwa kwa sababu alitangaza mali yakezake kabla ya uchaguzi 1999 undna 2003. Anasemekana alikuwa gavana aliyekataa rushwa. AliykuwaAlikuwa kati ya magavana wachache wasiochunguliwawasiochunguzwa na mamlaka ya kupambana na rushwa "Economic and Financial Crimes Commission".
 
=== Gavana na shari'a ===
Alipingwa kwa sababu alishiriki katika tangazo la muundo wa [[shari'a]] ya Kiislamu kuwa sheria ya jimbo wakati yeye ni gavana; Katsina ilikuwa jimbo la tano katika Nigeria iliyotangaza shari'a. Pia kesi ya mama [[Amina Lawal]] ilitokea chini ya ugavana wake. Mama huyu alishtakiwa chini ya shari'a kuwa alimzaa mtoto ilhali hakuolewa akahukumiwa auawe kwa kupigwa na mawe. Baada ya watu wengi kote duniani kuleta maombi na serikali ya kitaifa kupinga hukumu hiyo, mahakama ya juu ilifuta hukumu na kumwokoakumuokoa Amina.
Yar'Adua anasemekana hakujaribu kumtetea wala kuzuia hukumu ya mauti.