Kisasili : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|[[Mchoro wa Guercino kuhusu kisasili cha mlo wa miungu [[C...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 11:07, 31 Oktoba 2011
Kisasili ni habari inayotokeza imani na maadili ya utamaduni fulani kuhusu asili ya ulimwengu au ya mambo muhimu ya msingi katika maisha ya [[binadamu.
Mara nyingi habari hiyo inatazamwa kuwa si ya kihistoria, ingawa inaweza kuwasilisha ukweli fulani.
Lugha nyingi zinatohoa neno la Kigiriki μύθος, mythos, likitamkwa myuthos.