Waswahili ni wenyeji na wakaazi wanaobanana na ziwa hindi wanaotokana na jamii ya kibantu,swahili ni neno linalotokana na neno la kiarabu sahil yenye maana ya pwani.vilevile mswahili anaweza kuwa yeyote yule aliyestadi na kulielewa lugha na sarufi za kiswahili na kumiliki tenzi zake.
'''Waswahili''' ni kabila la kutoka pwani ya [[Bahari Hindi]] ya nchikama vile [[Tanzania]] na [[Kenya]].
Pia ni kawaida kuwaita wasemaji wa [[Kiswahili]] ''Waswahili'' hata kama ni wenyeji wa makabila mengine.
"Mswahili" ni pia namna ya kumtaja mtu mjanja kwa lugha ya mzaha.