Clemence Beatus Lyamba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''{{PAGENAME}}''' (amezaliwa tar. 16 Februari 1946) ni mbunge wa jimbo la Mikumi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.<ref>[http://www....' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 17:17, 3 Novemba 2011
Clemence Beatus Lyamba (amezaliwa tar. 16 Februari 1946) ni mbunge wa jimbo la Mikumi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia
Marejeo
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |