Jimbo Katoliki la Morogoro : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Jimbo la Morogoro''' ni moja katika ya ma[[dayosisi|jimbo]] 3133 ya [[Kanisa Katoliki]] nchini [[Tanzania]] kwa ajili ya waumini wake katika [[manispaa]] ya [[Morogoro]] pamoja na [[wilaya]] za [[Bagamoyo]], [[Morogoro vijijini]], [[Mvomero]], [[Kilosa]], [[Gairo]] n.k. Eneo lote lina [[kilometa mraba]] 43,380.
 
Kutokana na [[historia]] yake linafuata mapokeo ya [[Kilatini]], kama majimbo mengine yote ya Tanzania.
Mstari 33:
==Takwimu==
 
Mwishoni mwa mwaka 2004[[2007]] jimbo lilikuwa na waamini waliobatizwa 534.443645,762 kati ya wakazi 1.313.131,568,640 (4041,72%).
 
Katika parokia 53 kulikuwa na mapadri 126128 ([[wanajimbo]] 75 na [[watawa]] 53), mabradha 15056 na masista 123666.
 
==Viungo vya nje==
Mstari 41:
*[http://www.gcatholic.com/dioceses/diocese/moro0.htm Giga-Catholic] katika ukurasa [http://www.gcatholic.com/dioceses/diocese/moro0.htm]
*[http://www.morogoro.tk] Tovuti rasmi ya jimbo
 
 
 
[[Category:Kanisa Katoliki Tanzania|Morogoro]]