Hajj : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: simple:Hajj |
No edit summary |
||
Mstari 17:
Wahaji wengi wanatumia nafasi kutembela mji wa Madina baada ya hajj na kuona msikiti wa mtume.
Mwislamu aliyetimiza safari hii anapewa cheo cha heshima [[alhaji]] au [[hajja]] kwa wanawake.
Safari ya kutembela Makka nje ya siku za hajj huitwa umrah haina cheo sawa na hajj yenyewe.
|