Mfalme : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Wafalme na watawala wengine: ainisha {{mbegu}} using AWB
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:FormForms of Governmentgovernment.pngsvg|thumb|450px|'''Aina za serikali duniani''' <br> aina za [[Jamhuri]]: buluu, kijani, njano na machungwa; <br>'''[[Ufalme]]''': <br><span style="color:#ff0000">'''nyekundu'''</span> Ufalme wa kikatiba, mfalme ana madaraka madogo tu ya kisiasa <br>'''<span style="color:#dd00ff">dhambarau</span>''':Ufalme wa kikatiba, mfalme ana madaraka makubwa <br>'''<span style="color:#800080">dhambarau nyeusi</span>''': mfalme ana madaraka yote habanwi na katiba<br>'''Mengine''': Utawala wa chama kimoja au kamati ya kijeshi]]
 
'''Mfalme''' ni mtawala wa kiume juu ya nchi katika utaratibu wa [[ufalme]]. Kwa kawaida amerithi cheo chake kutoka mzazi wake aliyekuwa mfalme pia. Lakini kuna pia wafalme waliochaguliwa au kuteuliwa kwa namna nyingine hasa kama mfalme aliyetangulia alikufa bila mrithi.