Hosea : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Ondoa: fr, la, sv, de, no, it, fi, en, sk, zh, ru, cs, jv, ja Badiliko: pt
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Hosea.jpg|thumb|200px|right|[[Picha]] ya nabii Hosea ya [[karne ya 18]], [[monasteri]] ya [[Kizhi]], [[Karelia]], [[Russia]].]]
Wakati wa nabii [[Amosi]], Hosea (kwa [[Kiebrania]] הושע, ''hoshè'a'')(750-725 hivi K.K.) pia alianza kazi yake katika ufalme wa [[Israeli]] (Kaskazini).
 
Wakati wa nabii [[Amosi]], '''Hosea''' (kwa [[Kiebrania]] הושע, ''hoshè'a'')(750-725, hiviyaani K.K."Wokovu") piaalikuwa alianza kazi yake[[nabii] katika ufalme wa [[Israeli]] (Kaskazini) katika miaka [[750 KK]] - [[725 KK]].
Yeye hakufundisha kwa maneno tu, bali hasa kwa matendo ya kushangaza: mtindo huo ukatumika na manabii wengi, hata na [[Yesu Kristo]].
 
==Maisha==
Sura 1-3 za kitabu chake katika [[Biblia]] ([[Agano la Kale]]) zinasimulia alivyompenda mke wake [[Gomeri]] aliyemzalia watoto wa [[uzinzi]], hata hivyo akaendelea kumpenda na kumtafuta hata akamkomboa na kumrudisha.
Wakati wa nabii [[Amosi]], Hosea pia alianza kazi yake. Yeye hakufundisha kwa maneno tu, bali hasa kwa matendo ya kushangaza: mtindo huo ukatumika na manabii wengi, hata na [[Yesu Kristo]].
 
Sura 1-3 za [[Kitabu cha Hosea|kitabu]] chake katika [[Biblia]] ([[Agano la Kale]]) zinasimulia alivyompenda [[mke]] wake [[Gomeri]] aliyemzalia watoto wakwa [[uzinzi]], hata hivyo akaendelea kumpenda na kumtafuta hata akamkomboa na kumrudisha.
Mfano huo wa upendo wa [[Mungu]] kwa bibiarusi asiye mwaminifu (yaani taifa aliloliteua) likazidi kuzingatiwa mpaka katika [[Agano Jipya]] na kuchangia uimara wa [[ndoa]].
 
Mfano huo wa [[upendo]] wa [[Mungu]] kwa [[bibiarusi]] asiye mwaminifu (yaani [[taifa]] aliloliteua) likazidi kuzingatiwa mpaka katika [[Agano Jipya]] na kuchangia uimara wa [[ndoa]].
 
==Viungo vya nje==
*[http://ocafs.oca.org/FeastSaintsViewer.asp?SID=4&ID=1&FSID=102983 Nabii Hosea] Picha na habari zake
 
[[Category:Watu wa Biblia]]
[[Jamii:Manabii katika Uislamu]]
 
[[da:Hoseas' Bog]]