Kireno : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ang:Portuglisc sprǣc
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Map-Lusophone World-en.png|thumb|right|400px|Nchi penye Kireno kama lugha rasmi]]
'''Kireno''' (''Português'' - tamka "purtuGESH") ni lugha ya [[lugha za Kirumi|lugha ya Kirumi]] iliyotokea nchini [[Ureno]] ([[Ulaya]]). Imekuwa lugha ya kimataifa kutokana na historia ya ukoloni ya [[Ureno]] yenye [[wasemaji wa lugha ya kwanza]] milioni 190, pamoja na [[wasemaji wa lugha ya pili]] kuna watu milioni 200 duniani wanaoelewana kwa Kireno.
 
Kutokana na historia ya ukoloni Kireno limepatikana katika nchi zifuatazo: