Kitabu cha Yeremia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Ondoa: de:Buch Jeremia (deleted)
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text)
Mstari 1:
Kitabu cha [[Yeremia]] ni kimojawapo kati ya [[vitabu vya kinabii]] vilivyo virefu zaidi katika [[Tanakh]] ([[Biblia ya Kiebania]]), na kwa hiyo pia katika [[Agano la Kale]] ambalo ni sehemu ya kwanza ya [[Biblia ya Kikristo]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[Ufunuo|ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
==Mhusika mkuu==