Walawi (Biblia) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: hu:Mózes harmadik könyve
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text)
Mstari 1:
'''Kitabu cha Walawi''' (pia: '''Mambo ya Walawi''') ni kitabu cha tatu katika [[Biblia ya Kiebrania]] ([[Tanak]]) na katika [[Agano la Kale]] la [[Biblia ya Kikristo]], kikifuata kile cha [[Mwanzo (Biblia)|Mwanzo]] na kile cha [[Kutoka (Biblia)|Kutoka]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
== Majina ==