Waraka wa pili kwa Timotheo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: ar:الرسالة الثانية إلى تيموثاوس |
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text) |
||
Mstari 3:
'''Barua ya pili kwa Timotheo''' ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]]. Ni moja ya kundi la [[Nyaraka za Kichungaji]].
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[
Mwandishi ni [[Mtume Paulo]] akiwa kifungoni [[Roma]] kwa mara ya mwisho, muda mfupi kabla ya kukatwa kichwa wakati wa dhuluma (64-67 [[B.K.]]) ya [[Kaisari]] [[Nero]] dhidi ya [[Wakristo]].
|