Jacques Monod : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 09:03, 23 Agosti 2007
Jacques Lucien Monod (9 Februari, 1910 – 31 Mei, 1976) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza usanisi wa vimeng'enya ndani ya chembe hai. Mwaka wa 1965, pamoja na Francois Jacob na Andre Lwoff alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |