Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: new:यंता
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:CompassRose16_N.png|thumb|250px|right|Alama za dira zikionyesha kaskazini katika hali ya mkoozo]]
'''Kaskazini''' ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya [[dira]]. Mwelekeo wake ni [[ncha ya kaskazini]] ya dunia. Kinyume chake ni [[kusini]].
 
Jina "kaskazini" limetokana na neno la Kiarabu "قيظ qiz" joto na "قيظ قائظ qiz qaez" hali ya hewa lenye joto sana; kutoka sehemu za Zanzibar au Uswahilini kwenda kaskazini kuelekea Somalia joto linaongezeka sana; upepo wa joto latokea huko.
Mstari 10:
* [[Mashariki]]
* [[Magharibi]]
* [[Kaskazini-magharibi]]
 
{{mbegu-jio}}