Magharibi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|250px|right|Alama za dira zikionyesha magharibi katika hali ya mkoozo (W = "West" = magharibi) '''Magharibi''' ni moja kati y...'
 
No edit summary
Mstari 6:
Jina "magharibi" limetokana na neno la [[Kiarabu]] مَغْرِب ''maghrib'' linalomaanisha sehemu upande wa machweo.
 
Magharibi kawaida huwa upande wa kushoto kwenye ramani. [[Tanzania]] iko upande mwa kusinimagharibi ya [[KenyaBahari Hindi]], na nchi za [[MalawiBurundi]] iko upande wa magharibi ya Tanzania, na nchi ya [[MsumbijiMalawi]] zikoiko upande mwa kusinimagharibi ya Tanzania[[Msumbiji]].
 
Kwa maana ya kiutamaduni kuna uzoefu kutaja utamaduni wa Ulaya pamoja na Marekani (ambayo ni mtoto wa utamaduni wa Ulaya) kama "magharibi", kinyume chake ni "mashariki" kwa maana ya [[Asia]].