Werner Heisenberg : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: uk:Вернер Гейзенберг |
Baroc (majadiliano | michango) No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[
'''Werner Karl Heisenberg''' ([[5 Desemba]], [[1901]] – [[1 Februari]], [[1976]]) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya [[Ujerumani]]. Alivumbua umekaniki wa [[kwanta]] na kutangaza [[Kanuni ya Heisenberg ya Utovu wa Hakika]]. Pia alifanya utafiti wa msingi kuhusu fizikia ya kiini. Mwaka wa [[1932]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]]'''. Mpaka mwaka wa 1970 alikuwa mkurugenzi wa [[Taasisi ya Max Planck]] kwa [[Fizikia ya Nyota]].
|