Dini nchini Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tengua pitio 724953 lililoandikwa na 86.41.70.33 (Majadiliano)
Mstari 27:
==Takwimu ya dini==
===Sensa ya 1967===
Takwimu ya '''dini nchini [[Tanzania]]''' kwa sasa haipatikani kwa sababu maswali kuhusu dini yaliondolewa na serikali katika sensa baada ya mwaka [[1967]]. Sensa ile ya tarehe [[27 Agosti]] ilihesabu wafuasi wa dini za jadi kuwa 2834.03%, Wakristo 3133.05% na Waislamu 4131.04%, mbali na wengineo 1.0.8%.<ref>[http://www.state.gov/g/drl/rls/irf/2007/90124.htm International Religious Freedom Report 2007: Tanzania]. United States [[Bureau of Democracy, Human Rights and Labor]] (September 14, 2007). ''This article incorporates text from this source, which is in the [[public domain]].''</ref>
 
===Namba zenye athira ya kisiasa===