Kitenzi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ba:Ҡылым |
dNo edit summary |
||
Mstari 7:
Ndani ya shina kuna tofauti kati ya mzizi wa neno "fany" na kiambishi tamati ambacho ni silabi "a".
Mzizi wa kitenzi mwenyewe
Vitenzi kwa Kiswahili hupokea viambishi mbalimbali vinavyoeleza kwa undani zaidi maana ya matumizi ya neno. Viambishi awali ni silabi
Viambishi awali vinaweza kutaja:
* nafsi ya mtenda - ni nani au
* njeo au wakati - kama tendo linatokea sasa au lilitokea wakati uliopita au litatokea wakati ujao ; mifano ni silabi za '''a''' pamoja na '''na''' kwa wakati wa kisasa, '''li''' kwa wakati uliopita na '''ta''' kwa wakati ujao katika hali yakinishi.
Viambishi tamani vinaweza kupanusha au kubadilisha maana ya kimsingi ya mzizi wa neno. Mifano ni kimbi-a, kimbi-lia, kimbili-ana, kimbi-za, kimbi-zana, kimbi-liwa.
|