Kuku : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: af:Hoender
No edit summary
Mstari 17:
| nususpishi = ''Gallus gallus domesticus''
}}
'''Kuku''' ni [[Ndege (mnyama)|ndege]] anayefugwa na [[binadamu]] tangu miaka 8,000 hivi. Watu hutumia [[nyama]] yake na [[mayai]] kama [[chakula]]. Katika nchi ya baridi [[laika|malaika]] yao ambayo ni manyoya madogo ya chini yanatumiwa kwa kujaza mashuka au makoti. [[Samadi]] ya kuku ni [[mbolea]] mzuri lakini inapaswa kukaa kwa muda kabla ya kutumiwa.
 
Kuku dume huitwa [[jogoo]] na jike ni [[tembe]]; mtoto wa kuku ni [[kifaranga]]. Kutokana na ufugaji uwezo wa kuruka umepotea.
 
Idadi ya kuku duniani inakadiriwa kuwa zaidi ya bilioni 10 na wengi wanafugwa kwa wingi wakiotomiwa na kuishi zizini. Kwa njia ya ufugaji aina nyingi za kuku zimeendelezwa kwa kuchagua wanyama wenye tabia maalumu na kuwazaaliana. Wanaofugwa siki hizi ni aina zinazotoa hasa nyama na aina nyingine zinatoa hasa mayai.
Mstari 77:
[[Jamii:Kuku]]
[[Jamii:Kuku na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa kufugwaBiblia]]
 
[[af:Hoender]]