Kiswahili : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 41:
Leo, imekuwa inatumiwa katika kusambaza habari katika vituo mbali mbali ulimwenguni kama vile [[Sauti ya Amerika]], [[BBC]], [[Deutsche Welle]], [[Monte Carlo]], na nchi nyenginezo za [[Uchina]] na Urusi na [[Irani]] na kwengineko. Aidha, imekuwa ni mojawapo ya lugha muhimu zinazofundishwa katika vyuo vikuu nchini [[Marekani]], [[Uingereza]], [[Ulaya]], [[Urusi]], [[Uchina]], na barani Afrika.
WIKIMEDIA:
Kiarabu; Kifransa, Kingereza.
Kiurdu; Farsi, Kiburma.
Kiroma; Russi, Espania.
Kichina; Mandarin.
Kigerumani.
== Maendeleo ya Kiswahili ==
|