Kiswahili : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 71.7.235.207 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 91.0.47.100 |
|||
Mstari 41:
Leo, imekuwa inatumiwa katika kusambaza habari katika vituo mbali mbali ulimwenguni kama vile [[Sauti ya Amerika]], [[BBC]], [[Deutsche Welle]], [[Monte Carlo]], na nchi nyenginezo za [[Uchina]] na Urusi na [[Irani]] na kwengineko. Aidha, imekuwa ni mojawapo ya lugha muhimu zinazofundishwa katika vyuo vikuu nchini [[Marekani]], [[Uingereza]], [[Ulaya]], [[Urusi]], [[Uchina]], na barani Afrika.
== Maendeleo ya Kiswahili ==
|