Kiswahili : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 71.7.235.207 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 91.0.47.100
Mstari 41:
 
Leo, imekuwa inatumiwa katika kusambaza habari katika vituo mbali mbali ulimwenguni kama vile [[Sauti ya Amerika]], [[BBC]], [[Deutsche Welle]], [[Monte Carlo]], na nchi nyenginezo za [[Uchina]] na Urusi na [[Irani]] na kwengineko. Aidha, imekuwa ni mojawapo ya lugha muhimu zinazofundishwa katika vyuo vikuu nchini [[Marekani]], [[Uingereza]], [[Ulaya]], [[Urusi]], [[Uchina]], na barani Afrika.
 
WIKIMEDIA:
 
Kiarabu; Kifransa, Kingereza.
 
Kiurdu; Farsi, Kiburma.
 
Kiroma; Russi, Espania.
 
Kichina; Mandarin.
 
Kigerumani.
 
== Maendeleo ya Kiswahili ==