Deuterokanoni : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza ro:Cărți deuterocanonice
Mstari 46:
== Misimamo ya Waprotestanti ==
 
Wakati wa [[Matengenezo ya kiprotestanti]] katika [[karne ya 16]] [[Martin Luther]] alishikana wengineo walishika msimamo mkali kuhusu kanuni ya [[Biblia]] akafuata azimio la Wayahudi na shauri la Hieronimo kuhusu vitabu hivyo.
 
Pamoja na hivyo alivitoawaliweka vitabupembeni sabahata baadhi ya vitabu vya [[Agano Jipya]] ambavyo zamani ulitokea wasiwasi juu yake na kwa sababu hiyo pengine vinaitwa pia deuterokanoni:
 
* [[Waraka kwa Waebrania]],
Mstari 58:
* [[Ufunuo wa Yohane]]
 
Baada ya kifo cha Martin Luther, [[Waprotestanti]] walikubali tena vitabu vyote vya Agano Jipya na kurudisha umoja katika jambo hilo la msingi kwa [[Ukristo]].
 
[[Jamii:Biblia]]