Zanj : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
New page: '''Zanj''' (Kiarabu na Kifarsi '''زنج''') ni neno lililotumiwa na waandishi Waislamu wa zamani kutaja watu weusi kutoka Afrika ya Mashariki na pia kwa maana ya kijiografia kutaj...
 
No edit summary
Mstari 23:
Maisha ya watumwa yalikuwa ngumu mno wakitendewa vibaya na mabwana na kuanzia mwaka [[869]] BK walianza kuasi dhidi ya hali hiyo.
 
Wakiongozwa na Mwafrika [[Ali bin MohammedMohammad]] walichukua silaha na kupigania uhuru wao. Huyu Ali alidai ya kwamba alitoka katika ukoo wa [[Ali ibn Abu Talib]] akajitangaza kuwa [[mahdi]] na kudai ni yeye atakayekamilisha Uislamu wa kweli.
 
Wazanj walifaulu mara kadhaa kushinda jeshi za [[Khalifa]] wa [[Baghdad]] wakateka mji wa [[Basra]] mwaka [[871]]. Wakajenga miji yao na Mukhtara ilikuwa mji mkuu wa mahdi.
Mwishowe Waarabu walifaulu [[883]] kukandamiza uasi. Ali alikatwa kichwa na Wazanj wasiouawa wakarudishwa utumwani.