Binadamu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza mdf:Ломанць |
|||
Mstari 20:
== Binadamu kadiri ya sayansi ==
Ki[[sayansi]] jina hilo linaweza kutumika kwa maana ya '''Homo Sapiens''' ili kumtofautisha na viumbe wengine wa [[jenasi]] Homo ambao
Watu wote walioko leo hii ni [[spishi]] ileile na tofauti zinazoonekana kati ya maumbile yao katika sehemu mbalimbali za dunia ni kidogo tu.
Utafiti juu ya [[DNA]] umethibitisha kwamba binadamu wote wametokana na watu waliokuwepo [[Afrika]] Mashariki tangu miaka 200,000 hivi iliyopita.▼
▲Utafiti juu ya [[DNA]] umethibitisha kwamba binadamu wote wametokana na watu waliokuwepo [[Afrika]] Mashariki
Kwa namna ya pekee, upimaji wa [[DNA ya mviringo]], ambayo kila mmoja anarithi kwa mama tu, unaonyesha kuwa binadamu wote waliopo duniani wanachanga mama mmoja aliyewahi kuishi miaka 130,000 hivi iliyopita.
Halafu upimaji wa
Hata hivyo, upimaji wa [[DNA ya mstari]] kwa jumla umeonyesha miaka ya mwisho uwezekano wa kwamba baadhi ya binadamu wa leo, wale wasio wa kusini kwa Sahara, wana asilimia 1-6 ya urithi wa kibiolojia kutoka kwa aina nyingine za homo, hususan [[Homo neanderthalensis]] na ile ya pango la Donovani.
Kama hao waliweza kweli kuzaliana na [[Homo sapiens]] maana yake walikuwa [[spishi]] moja na yeye. Hapo asili ya binadamu inatakiwa kuhesabiwa ya zamani zaidi sana kuliko miaka 200,000.
== Uenezi wa binadamu ==
|