Ifakara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 20:
[[Picha:Ifakara kwa macho ya ndege.jpg|thumb|250px|Ifakara kwa macho ya ndege]]
'''Ifakara''' ni makao makuu ya [[
Mji uko katika bonde la [[mto Kilombero]] takriban kilomita 420 kusini-magharibi mwa [[Dar es Salaam]]. Taasisi muhimu mjini ni Taasisi ya Afya Ifakara (Ifakara Health Institute) inayofanya uchunguzi wa kisayansi wa magonjwa kama [[malaria]] na [[ukimwi]]. [[Kanisa katoliki]] inaendesha [[Hospitali ya St Francis]] inayotarajiwa kuwa hospitali ya wilaya pamoja na chuo cha wauguzi.
|